TANGAZO LA MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

 

TO JOIN OUR TELEGRAM GROUP CLICK HE

TANGAZO LA MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI

Kwa
wale wote walioitwa kwenye usaili kwa Kada ya Afisa Manunuzi na Ugavi
II, naomba kuwatangazia kuwa usaili wa Mchujo utafanyika tarehe
25/06/2022 badala ya tarehe 24/06/2022 kama ilivyoonesha awali kwenye
orodha ya majina ya kuitwa kwenye usaili.

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Related