utumishi

Nafasi ya kazi :- MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA HUDUMA YA CHAKULA VINYWAJI NA MAUZO (FOOD AND BEVARAGE, SALES AND SERVICES) (RE-ADVERTISED) – 28 POST

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

MDAs & LGAs

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i. Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango

wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

ii. Kutengeneza na Kufaragua zana za kufundishia na kujifunzia;

iii. Kufundisha, kufanya Tathimini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya

Wanafunzi;

iv. Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;

v. Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri

nasaha na unasihi;

vi. Kutoa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;

vii. Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za shule; na

viii. Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwamwenyechetichamafunzo ya StashahadayaUalimuyenyesomolakufundishialaChakulana vinywaji, mauzo na huduma “Foodandbevarage, sales and services”kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali.

AUWenyeStashahadaisiyoyaUalimukatikafaniyaHudumayaChakula,vinywaji na mauzo “Food and bevarage, sales and services”. Waombaji ambao hawana somo la UALIMU ni lazima wawe tayari kupata mafunzo ya UALIMU baada ya kuajiriwa

APPLICATION TIMELINE: 2025-02-10 2025-02-20

.

APPLY NOW

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Related