serikali

DEREVA DARAJA LA II – 100 POST at MDAs & LGAs October, 10

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram
POSTDEREVA DARAJA LA II – 100 POST
EMPLOYERMDAs & LGAs
APPLICATION TIMELINE:2023-10-09 2023-10-22
JOB SUMMARYNIL

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i) Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;

ii) Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;

iii) Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;

iv) Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;

v) Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;

vi) Kufanya usafi wa gari; na

vii) Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Mwombaji awe na Cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali. Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

CLICK HERE TO APPLY

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Related