Nafasi ya kazi :- MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII UMEME – (DOMESTIC ELECTRICAL INSTALLATION)
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,
20 Positions
Duties and Responsibilities
- Kufundisha masomo ya fani ya Umeme katika Vyuo;
- Kuandaa mitiririko na mpangilio wa masomo;
- Kusimamia masomo ya vitendo;
- Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi na kwenye mitihani;
- Kufanya utafiti wa mahitaji ya mafunzo katika Jamii inayozunguka chuo;
- Kuandaa muhtasari wa masomo;
- Kufanya maandalizi ya namna ya kuendesha mafunzo; viii. Kuandaa vielelezo vya kufundishia;
- Kuendesha mafunzo ya nje ya Chuo (Outreach Programs); na
- Kutunga, Kusimamia na Kusahihisha mitihani.
Qualifications
- Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya Umeme kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali
RemunerationTGS CApplication Period08/12/2025 - 23/12/2025APPLY NOW https://portal.ajira.go.tz/view-advert/qC5XIAplwIq%2BkaWXyQBEpw%3D%3D