Nafasi ya kazi :- MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II - UMEME WA MAGARI (AUTO ELECTRICAL
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,
15 Positions
Duties and Responsibilities
- Kutayarisha mpango wa kazi wa mafunzo;
- Kupima maendeleo ya wanachuo katika nadharia na vitendo;
- Kutunza vifaa vya kufundishia; iv. Kufanya na kutoa taarifa za utafiti;
- Kutoa ushauri wa kitaalam;
- Kuandaa kanuni na taratibu za kusimamia mitihani chuoni; vii. Kutunga na kusahihisha mitihani;
- Kufanya utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa changamoto mbalimbali; zinazokwamisha maendeleo katika jamii; na
- Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza mafunzo nje ya chuo.
Qualifications
- Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya Umeme wa magari (Auto Electrical) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali
RemunerationTGS CApplication Period08/12/2025 - 23/12/2025APPLY NOW https://portal.ajira.go.tz/view-advert/nx3SkKxunliWnZCjuamaf17FA%3D%3D