MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II- MAGARI(MOTOR VEHICLE MECHANICS)

UTUMISHI_223.jpg

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,
10 Positions

Duties and Responsibilities

  1. Kufundisha masomo ya fani ya Magari katika vyuo;
  2. Kuandaa mitiririko na mpangilio wa masomo;
  3. Kusimamia masomo ya vitendo;
  4. Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi na kwenye mitihani;
  5. Kufanya utafiti wa mahitaji ya mafunzo katika Jamii inayozunguka chuo;
  6. Kuandaa muhtasari wa masomo;
  7. Kufanya maandalizi ya namna ya kuendesha mafunzo;
  8. Kuandaa vielelezo vya kufundishia;
  9. Kuendesha mafunzo ya nje ya Chuo (Outreach Programs); na
  10. Kutunga, Kusimamia na Kusahihisha mitihani.

Qualifications
  • Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne/sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada katika fani ufundi wa Magari kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

Remuneration
TGS C

Application Period
08/12/2025 - 23/12/2025


APPLY NOW
https://portal.ajira.go.tz/view-advert/fKtcBXEt3rAAFyrNyFjuamq2g%3D%3D