utumishi

Nafasi ya kazi :- AFISA BIASHARA DARAJA LA II (TRADE OFFICER II) – 193 POST

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

MDAs & LGAs

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

 i.Kuwasiliana na Wizara nyingine ambazo zinafanya biashara, kupata takwimu ambazo    zitatumika katika kutathmini mwenendo wa biashara na masuala                mengine ya kibiashara;

ii.Kusambaza taarifa za kibiashara kwa wafanyabiashara;

iii.Kutathmini mwenendo wa biashara kwa kuangalia hali ya masoko katika nchi mbalimbali ambazo bidhaa zetu zinauzwa;

iv.Kuandaa grafu na “chart” ambazo zinaonyesha mwenendo wa bidhaa zinazoingizwa nchini na zile ziendazo nje kwa kila nchi ambazo hufanya biashara na              Tanzania;

v.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na msimamizi wake kulingana na sifa na fani yake.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Biashara waliojiimarisha katika fani ya Masoko au Uendeshaji Biashara kutoka katika Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

APPLICATION TIMELINE: 2024-08-03 2024-08-16

.

APPLY NOW

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Related